Watu wengi wanaripotiwa kuwa wamefariki dunia huku wengine wengi wakijeruhiwa vibaya wakati wakiwa katika ibada ya Ijumaa katika Msikiti mmoja mkubwa uliopo katika mji wa Kano nchini Nigeria.
Shuhuda mmoja amesema ameshuhudia miili ya watu zaidi ya 50 waliopoteza maisha baada ya mabomu matatu kulipuka katika msikiti huo wakati ibada ya ijumaa ikiendelea.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni