.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 21 Novemba 2014

WAZIRI MKUU WA JAPAN AVUNJA BUNGE KUPISHA UCHAGUZI WA DHARURA

Waziri Mkuu wa Japan Shinzo Abe amevunja bunge, ili kutoa fursa ya kufanyika uchaguzi wa dharura, utakaofanyika kati kati ya mwezi Desemba, mwaka huu.

Bw. Abe anajaribu kupata ridhaa mpya ya kufanya mabadiliko ya kiuchumi, na anachelewesha suala lisilokubalika la kuongeza kodi ya mauzo.

Hata hivyo kura ya maoni iliyofanywa na vyombo vya habari vya Japan, inaonyesha idadi ndogo wanamuunga mkono Bw. Abe, huku wengi wao hawamuelewi kwanini kaitisha uchaguzi wa dharura ikiwa imebakia miaka miwili kabla ya uchaguzi mkuu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni