Mhe. Dk. Mary Nagu Waziri wa
Uwekezaji na Uwezeshaji (wa pili kutoka kushoto) akijiandaa kuzindua
ziara ya wafanyabiashara kutoka Ubeligiji iliyoanza leo Dar es
Salaam, wa pili kulia ni Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dk. Diodorus
Buberwa Kamala na wa kwanza kushoto ni Balozi wa Ubeligiji Tanzania
Mhe. Adam Koenraad.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni