Amiri Jehi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Waziri wa
Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt.Hussein Ally Mwinyi(kushoto) Mkuu wa
Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Adolf Mwamunyange wakiweka jiwe la
msingi kuzindua rasmi ujenzi wa nyumba za maafisa wa jeshi huko Monduli mkoani
Arusha jana.
Katika mradi huo jumla ya nyumba elfu kumi zinatarajiwa kujenga
katika kambi mbalimbali za jeshi nchini.
Picha na Freddy Maro
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni