Rais wa Sudan, Omar al-Bashir.
Rais wa Sudan, Omar al-Bashir amemualika Rais wa Kenya, Mh Uhuru Kenyatta kuitembelea nchini hiyo.
Katika mwaliko huo, al-Bashir amesema katika mwaliko huo wa kiserikali, una lengo la kudumisha umoja na ukaribu kati ya nchi hizo mbili.
Waziri wa Mambo ya nchi za Nje wa Sudan, Ali Ahmed Karti aliwasilisha mwaliko huo kwa Rais Kenyatta ili aitembelee Khartoum.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni