Mfalme Salman wa Saudi Arabia
ametangaza mabadiliko makubwa ya baraza la mawaziri, ikiwa ni wiki
moja tu kupita tangu atwae madaraka hayo kufuatia kifo cha mfalme wa
nchi hiyo.
Mabadiliko hayo pia yamewakumba mkuu
wa usalama wa taifa, na mkuu wa baraza la taifa la usalama.
Maafisa wengine waandamizi, akiwemo
waziri wa ulinzi, mafuta na mambo ya nje wamenusurika katika
mabadiliko hayo.
Gavana wa Mecca pamoja na gavana wa
Riyadh wamebadilishwa pamoja na viongozi kadhaa wa kidini.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni