.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 31 Januari 2015

WATOTO WACHANGA TISA WALIOOKOLEWA HAI KWENYE KIFUSI KUFANYIWA KIPIMO CHA DNA

Watoto wachanga tisa waliokutwa hai kwenye kifusi cha hospitali nchini Mexico baada ya gesi kulipuka watafanyiwa vipimo vya DNA ili kusaidia kuwabaini wazazi wao.

Meya wa Jiji la Mexico, Angel Mancera, amesema kipimo hicho ni muhimu kutokana na watoto hao wachanga walikuwa hawajavalisha bangili za utambulisho.

Mlipuko huo uliotokea siku ya alhamis umesababisha kifo cha muuguzi mmoja na watoto wachanga wawili na kujeruhi wengine zaidi ya 70.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni