.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 26 Februari 2015

MTUMISHI WA KITUO CHA YATIMA WA EBOLA AFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA EBOLA


Mwanaume mmoja raia wa Sierra Leone ambaye alikuwa anafanyakazi katika kituo cha kulelea yatima wa Ebola amefariki kwa ugonjwa huo wa Ebola.

Mtumishi huyo wa kituo hicho Augustine Baker alilazwa katika kituo cha kutibu Ebola, baada ya kuugua wiki iliyopita.

Baker alikuwa akifanya kazi katika kituo hicho cha kulelea yatima wa Ebola kinachoendeshwa na asasi ya Uingereza, nje kidogo mwa mji mkuu wa nchi ya Sierra Leone, Freetown.

Kufuatia tukio hilo watoto 33 pamoja na watumishi saba wa kituo hicho cha St George Foundation wamewekwa chini ya karantini tangu marehemu Baker abainike kuwa na virusi vya Ebola.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni