Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard K. Membe (Mb) akisalimiana na
Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam. Mhe. Rais Kagame
yupo nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Ukanda
wa Kati kuhusu Uwekezaji na Viwanda unaofanyika kwenye Ukumbi wa
Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
Rais Paul Kagame akipokea shada la
maua kutoka kwa mtoto Elizabeth Jackson kama ishara ya kumkaribisha
nchini Tanzania.
Rais Paul Kagame akikagua gwaride la
heshima.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni