Mbunge wa jimbo la Imenti Gideon
Mwiti
Mashirika yasiyoyakiserikali
yanayojihusisha na haki za wanawake na watoto wa kike nchini Kenya
yatafanya maandamano hii leo, kushinikiza mbunge anayedaiwa kumbaka
mke wa mtu akamatwe.
Shirikisho la Asasi za Kiria Kenya
limetaka kushtakiwa kwa mbunge wa jimbo la Imenti Gideon Mwiti kwa
kosa la kumbaka mwanamke huyo.
Mashirika hayo yametoa wito kwa rais
Uhuru Kenyatta, wabunge, Mkuu wa Jeshi la Polisi pamoja na Mkurugenzi
wa Mashtaka Kenya kuhakikisha uchunguzi wa kina unafanyika kuhusina
na tukio hilo la mbunge kubaka.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni