.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 1 Julai 2015

MUIGIZAJI WA FILAMU WA HOLLYWOOD LUPITA NYONG'O AWA BALOZI WA TEMBO

Muigizaji filamu Lupita Nyong'o ametajwa kuwa balozi wa kimataifa wa tembo, baada ya kuonekana kwa mara ya kwanza jana nchini Kenya tangu ashinde tuzo ya Oscar.

Ziara yake hiyo ni ya kwanza kwa muigizaji huyo katika nchi ya wazazi wake, baada ya kushinda tuzo hiyo ya juu kutokana na uhusika wake kwenye filamu ya 12 Years a Slave.

Akiongea mbele ya vyombo vya habari Lupita amesema anajivunia kuwa Mkenya na kuwa balozi wa Kimataifa wa kupambana na mauaji ya tembo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni