Wanajeshi wapatao 10 wamekufa na
kujeruhiwa katika wimbi la mashambulio yanayofanywa na wanapiganaji
wa makundi ya jihadi katika penisula ya Sinai nchini Misri.
Taarifa zinasema kuwa zaidi ya
wapiganaji 70, walifanya mashambulizi hayo katika maeneo matano
tofauti ya ukaguzi, karibu na eneo la Sheikh Zuweid.
Washambuliaji 23 wameuwawa na magari
matatu ya pick-up yaliyokuwa na makombora ya kutungua ndege
yameteketezwa.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni