.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 3 Septemba 2015

CHELSEA WATAHADHARISHWA KUWA PAUL POGBA BEI YAKE NI MBAYA

Chelsea imetahadharishwa watalazimika kulipa karibu sawa na rekodi ya dunia ada ya uhamisho ili kumnasa kiungo Paul Pogba kutoka Juventus.

Mchezaji huyo wa Ufaransa wa kimataifa alikuwa anawaniwa na kocha Jose Mourinho katika majira ya joto ambapo alikuwa na thamani ya paundi milioni 54,

Mtendaji Mkuu wa Juventus Giuseppe Marotta sasa ametahadharisha kuwa Pogba, ambaye kwa sasa ni miongoni mwa viungo wa kati bora duniani dau lake litazidi paundi milioni 73.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni