.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 3 Septemba 2015

KIONGOZI WA HUNGARI ATAKUTANA NA VIONGOZI WA ULAYA JIJINI BRUSSELS

Kiongozi wa Hungari atakutana na viongozi wa Ulaya Jijini Brussels kuzungumzia mgogoro wa wahamiaji, huku maelfu wakiwa wamekwama kwenye stesheni ya reli Jijini Budapest.

Tangu jumanne, wahamiaji wamezuiliwa kuingia ndani ya treni kuondoka Hungari kuelekea mataifa ya Umoja wa Ulaya.

Wengi wa hamiaji hao Jijini Budapest wamekata tiketi na wanataka kusafiri kaskazini, lakini Hungari imewazuia ikisema inatekeleza sheria za Ulaya.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni