.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 3 Septemba 2015

WALIMU NCHINI KENYA WAMEANZA MGOMO WAO WA KITAIFA RASMI HAPO JANA

Walimu nchini Kenya wameanza mgomo wao wa kitaifa rasmi hapo jana baada ya chama chao kuridhia mgomo kuishinikiza serikali kuwalipa mshahara mkubwa kama ilivyoagizwa na mahakama.

Viongozi wa Chama cha Taifa cha Walimu Kenya wameonya kuwa watasitisha mgomo iwapo tu mishahara mipya italipwa kama ilivyoamuriwa na mahakama. Walimu Kenya walianza mgomo baridi tangu jumatatu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni