Timu ya Arsenal imemtambulisha
mchezaji raia wa Misri Mohamed Elneny baada ya kukamilisha uhamisho
wake kutokea klabu ya Basle.
Kocha Arsene Wenger amekamilisha
uhamisho wa mchezaji huyo msimu wa uhamisho wa Januari baada ya kutoa
dau la paundi milioni 5.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni