.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 14 Januari 2016

ARSENAL YAMTAMBULISHA MCHEZAJI WAO MPYA MOHAMED ELNENY

Timu ya Arsenal imemtambulisha mchezaji raia wa Misri Mohamed Elneny baada ya kukamilisha uhamisho wake kutokea klabu ya Basle.

Kocha Arsene Wenger amekamilisha uhamisho wa mchezaji huyo msimu wa uhamisho wa Januari baada ya kutoa dau la paundi milioni 5.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni